Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 130

Zaburi 130:1-5

Help us?
Click on verse(s) to share them!
1Toka ndani yangu ninakulilia, Yahwe.
2Bwana, usikie sauti yangu; masikio yako na yasikie kwa makini kuomba kwangu kwa ajili ya huruma.
3Kama wewe, Yahwe, ungehesabu maovu, Bwana, ni nani angesimama?
4Lakini kwako kuna msamaha, ili uweze kuheshimiwa.
5Ninamngoja Yahwe, nafsi yangu inasubiri, na katika neno lake ninatumainia.

Read Zaburi 130Zaburi 130
Compare Zaburi 130:1-5Zaburi 130:1-5