Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 130:1-5 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 130:1-5 in Biblia ya Kiswahili

1 Toka ndani yangu ninakulilia, Yahwe.
2 Bwana, usikie sauti yangu; masikio yako na yasikie kwa makini kuomba kwangu kwa ajili ya huruma.
3 Kama wewe, Yahwe, ungehesabu maovu, Bwana, ni nani angesimama?
4 Lakini kwako kuna msamaha, ili uweze kuheshimiwa.
5 Ninamngoja Yahwe, nafsi yangu inasubiri, na katika neno lake ninatumainia.
Zaburi 130 in Biblia ya Kiswahili