Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 84

Zaburi 84:1-5

Help us?
Click on verse(s) to share them!
1Ni jinsi gani maskani yako yapendeza, Ewe Yahwe wa Majeshi!
2Ninashauku ya kuingia nyumbani mwa Yahwe, nimechoka sana kwa sababu ninatamani sana kuwa nyumani mwako. Moyo wangu na mwili wangu wote wakuita wewe Mungu uliye hai.
3Hata Shomoro naye amepata nyumba yake na mbayuwayu amejipatia kiota kwa ajili yake mwenyewe mahali awezapo aweza kuweka makinda yake karibu na madhabahu yako, Ee Yahwe wa majeshi, Mfalme wangu, na Mungu wangu.
4Wamebarikiwa wale ambao huishi katika nyumba yako; nao hukusifu wewe siku zote. Selah
5Amebarikiwa mtu yule ambaye nguvu zake ziko katika wewe, katika moyo wake mna njia kuu ziendazo mpaka Sayuni.

Read Zaburi 84Zaburi 84
Compare Zaburi 84:1-5Zaburi 84:1-5