Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 76

Zaburi 76:4-8

Help us?
Click on verse(s) to share them!
4Wewe unang'aa sana na huufunua utukufu wako, ushukapo kutoka milimani, ambako uliwauwa mateka.
5Wenye moyo shujaa walitekwa nyara; walilala mauti. Mashujaa wote walikuwa wanyonge.
6Kwa kukemea kwako, ewe Mungu wa Yakobo, wote gari na farasi walilala mauti.
7Wewe, ndiyo wewe, ni wa kuogopwa; ni nani awezaye kusimama mbele yako wakati ukiwa na hasira?
8Kutoka mbinguni wewe uliifanya hukumu yako isikike; nchi iliogopa na ikaa kimya

Read Zaburi 76Zaburi 76
Compare Zaburi 76:4-8Zaburi 76:4-8