Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 39

Zaburi 39:6-13

Help us?
Click on verse(s) to share them!
6Hakika kila mtu hutembea kama kivuli. Hakika kila mmoja hufanya haraka kuhusu kukusaya utajiri ingawa hawajui ni nani atazipokea.
7Sasa, Bwana, ninasubiri kwa ajili ya nini? Wewe ni tumaini langu pekee.
8Uniokoe na dhambi zangu; usinifanye laumu ya wabumbavu.
9Niko kimya na siwezi kufungua mdomo wangu, kwa sababu ni wewe ndiwe umefanya hivyo.
10Acha kunijeruhi; nimezidiwa na pigo la mkono wako.
11Wewe unapowaadhibu watu kwa ajili ya dhambi, huvila kama nondo vitu vyao wavitamanivyo; hakika watu si kitu bali mvuke. Serah
12Sikia maombi yangu, Yahwe, na unisikilize; usikie kilio changu! Usiwe kiziwi kwangu, kwa maana niko kama mgeni pamoja nawe, kimbilio langu la usalama kama mababu zangu walivyokuwa.
13Geuzia furaha yako kwangu ili kwamba niweze kutabasamu kabla sijafa.

Read Zaburi 39Zaburi 39
Compare Zaburi 39:6-13Zaburi 39:6-13