Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 69

Zaburi 69:30-36

Help us?
Click on verse(s) to share them!
30Nitalisifu jina la Mungu kwa wimbo na nitamtukuza yeye kwa shukrani.
31Nitamsifu Yahwe zaidi kuliko ng'ombe au ndama aliye na mapembe na kwato.
32Wanyenyekevu wameona na kufurahi; ninyi mnao matafuta Mungu, mioyo yenu itiwe nguvu.
33Maana Yahwe husikia wenye uhitaji naye hawadharau wafungwa wake.
34Mbingu na nchi zimsifu yeye, bahari na vyote vitembeavyo majini.
35Kwa maana Mungu ataiokoa Sayuni na ataujenga tena mji wa Yuda; watu wataishi huko na kupata umiliki wao.
36Ukoo wa watumishi wake watairithi; nao walipendao jina lake wataishi humo.

Read Zaburi 69Zaburi 69
Compare Zaburi 69:30-36Zaburi 69:30-36