Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 65

Zaburi 65:1-6

Help us?
Click on verse(s) to share them!
1Kwako wewe, Mungu katika Sayuni, sifa zetu za kungoja; viapo vyetu vitaletwa kwako.
2Wewe usikiaye maombi yetu, miili yote itakuja kwako.
3Maovu yanatutawala sisi; kama yalivyo makosa yetu, wewe utayasamehe.
4Amebarikiwa mtu yule ambaye wewe huchagua kumsogeza karibu yako ili kwamba aishi hekaluni mwako. Tutatoshelezwa kwa uzuri wa nyumba yako, hekalu lako takatifu.
5Katika haki wewe utatujibu sisi kwa kufanya mambo ya ajabu, Mungu wa wokovu wetu; wewe ambaye ni ujasiri wa mwisho wote wa nchi na wa wale walio mbali toka pande za bahari.
6Kwa manaa ni wewe ndiye uliyeifanya milima imara, wewe ambaye umefungwa mkanda wa uweza.

Read Zaburi 65Zaburi 65
Compare Zaburi 65:1-6Zaburi 65:1-6