7Yahwe wa majeshi yuko pamoja nasi; Mungu wa Yakobo ni kimbilio letu la usalama. Selah
8Njoni, mtazame matendo ya Yahwe, uharibifu alioufanya juu ya nchi.
9Anaisitisha vita kwenye nchi; yeye anauvunja upinde na kuikata vipande vipande mishale; anazichoma ngao.
10Mkae kimya na mjue kuwa mimi ni Mungu; nitainuliwa juu ya nchi.
11Mungu wa majeshi yuko pamoja nasi; Mungu wa Yakobo ni kimbilio letu la usalama. Serah