Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 130

Zaburi 130:1-3

Help us?
Click on verse(s) to share them!
1Toka ndani yangu ninakulilia, Yahwe.
2Bwana, usikie sauti yangu; masikio yako na yasikie kwa makini kuomba kwangu kwa ajili ya huruma.
3Kama wewe, Yahwe, ungehesabu maovu, Bwana, ni nani angesimama?

Read Zaburi 130Zaburi 130
Compare Zaburi 130:1-3Zaburi 130:1-3