Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 124

Zaburi 124:2-5

Help us?
Click on verse(s) to share them!
2“Kama asingekuwa Yahwe ambaye alikuwa upande wetu wakati watu walipoinuka dhidi yetu,
3basi wangekuwa wametumeza tungali hai hasira yao lipozidi dhidi yetu.
4Maji yangetugharikisha; mto ungetuzidia.
5Kisha maji yafurikayo yangetuzamisha.”

Read Zaburi 124Zaburi 124
Compare Zaburi 124:2-5Zaburi 124:2-5