Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 9

Zaburi 9:16-18

Help us?
Click on verse(s) to share them!
16Yahweh amejidhihilisha; na kutekeleza hukumu; waovu wameangamia kwa matendo yao wenyewe. Selah
17Waovu wamekataliwa na kupelekwa kuzimu, mataifa yote yanayo msahau Mungu.
18Kwa kuwa mhitaji hata sahauliwa siku zote, wala matumaini ya wanyonge hayatapotea milele.

Read Zaburi 9Zaburi 9
Compare Zaburi 9:16-18Zaburi 9:16-18