Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 96

Zaburi 96:2-7

Help us?
Click on verse(s) to share them!
2Mwimbieni Yahwe, tukuzeni jina lake; tangazeni wokovu wake siku hadi siku.
3Tangazeni utukufu wake kati ya mataifa, matendo yake ya ajabu kati ya mataifa.
4Maana Yahwe ni mkuu na wakusifiwa sana. Ni wakuhofiwa kuliko miungu mingine.
5Maana miungu yote ya mataifa ni sanamu, bali ni Yahwe aliye zifanya mbingu.
6Heshima na adhama ziko mbele zake. Nguvu na uzuri zimo katika patakatifu pake.
7Mpeni Yahwe sifa, enyi ukoo wa watu, mpeni sifa Yahwe kwa ajili ya utukufu wake na nguvu.

Read Zaburi 96Zaburi 96
Compare Zaburi 96:2-7Zaburi 96:2-7