Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 84

Zaburi 84:2-3

Help us?
Click on verse(s) to share them!
2Ninashauku ya kuingia nyumbani mwa Yahwe, nimechoka sana kwa sababu ninatamani sana kuwa nyumani mwako. Moyo wangu na mwili wangu wote wakuita wewe Mungu uliye hai.
3Hata Shomoro naye amepata nyumba yake na mbayuwayu amejipatia kiota kwa ajili yake mwenyewe mahali awezapo aweza kuweka makinda yake karibu na madhabahu yako, Ee Yahwe wa majeshi, Mfalme wangu, na Mungu wangu.

Read Zaburi 84Zaburi 84
Compare Zaburi 84:2-3Zaburi 84:2-3