Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 84:2-3 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 84:2-3 in Biblia ya Kiswahili

2 Ninashauku ya kuingia nyumbani mwa Yahwe, nimechoka sana kwa sababu ninatamani sana kuwa nyumani mwako. Moyo wangu na mwili wangu wote wakuita wewe Mungu uliye hai.
3 Hata Shomoro naye amepata nyumba yake na mbayuwayu amejipatia kiota kwa ajili yake mwenyewe mahali awezapo aweza kuweka makinda yake karibu na madhabahu yako, Ee Yahwe wa majeshi, Mfalme wangu, na Mungu wangu.
Zaburi 84 in Biblia ya Kiswahili