Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 78

Zaburi 78:38-40

Help us?
Click on verse(s) to share them!
38Lakini yeye, kwa kuwa alikuwa alikuwa na huruma, aliwasamehe uovu wao na hakuwaangamiza. Ndiyo, wakati mwingi aliizuia hasira yake na hakuionesha ghadhabu yake yote.
39Alikumbuka kuwa waliumbwa kwa mwili, upepo ambao hupita nao haurudi.
40Mara ngapi wameasi dhidi yake jangwani na kumuhuzunisha nyikani!

Read Zaburi 78Zaburi 78
Compare Zaburi 78:38-40Zaburi 78:38-40