Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 78:38-40 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 78:38-40 in Biblia ya Kiswahili

38 Lakini yeye, kwa kuwa alikuwa alikuwa na huruma, aliwasamehe uovu wao na hakuwaangamiza. Ndiyo, wakati mwingi aliizuia hasira yake na hakuionesha ghadhabu yake yote.
39 Alikumbuka kuwa waliumbwa kwa mwili, upepo ambao hupita nao haurudi.
40 Mara ngapi wameasi dhidi yake jangwani na kumuhuzunisha nyikani!
Zaburi 78 in Biblia ya Kiswahili