Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 78

Zaburi 78:21-24

Help us?
Click on verse(s) to share them!
21Yahwe aliposikia haya, alikasirika; moto wake uliwaka dhidi ya Yakobo, hasira yake ikamshambulia Israeli,
22kwa sababu hawakumwamini Mungu na hawakuamini katika wokovu wake.
23Lakini yeye bado aliziamuru mbingu juu na kufungua milango ya mbingu.
24Aliwanyeshea mana ili wale, na aliwapa nafaka kutoka mbinguni.

Read Zaburi 78Zaburi 78
Compare Zaburi 78:21-24Zaburi 78:21-24