Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 69

Zaburi 69:5-7

Help us?
Click on verse(s) to share them!
5Mungu, wewe unaujua ujinga wangu, na dhambi zangu hazifichiki kwako.
6Usiwaache wale wanao kungoja wewe waaibishwe kwa sababu yangu, Bwana Yahwe wa majeshi; usiwaache wale wanaokutafuta wewe wadharauliwe kwa sababu yangu, Mungu wa Israeli.
7Kwa ajili yako nimestahimili lawama; aibu imeufunika uso wangu.

Read Zaburi 69Zaburi 69
Compare Zaburi 69:5-7Zaburi 69:5-7