Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 69

Zaburi 69:32-35

Help us?
Click on verse(s) to share them!
32Wanyenyekevu wameona na kufurahi; ninyi mnao matafuta Mungu, mioyo yenu itiwe nguvu.
33Maana Yahwe husikia wenye uhitaji naye hawadharau wafungwa wake.
34Mbingu na nchi zimsifu yeye, bahari na vyote vitembeavyo majini.
35Kwa maana Mungu ataiokoa Sayuni na ataujenga tena mji wa Yuda; watu wataishi huko na kupata umiliki wao.

Read Zaburi 69Zaburi 69
Compare Zaburi 69:32-35Zaburi 69:32-35