Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 62

Zaburi 62:1-6

Help us?
Click on verse(s) to share them!
1Katika ukimya ninamsubiri Mungu pekee; wokovu wangu watoka kwake.
2Yeye pekee ni mwamba wangu na wokovu wangu; yeye ni mnara wangu mrefu; sitasogezwa kamwe.
3Mpaka lini, ninyi nyote, mtamshambulia mtu, ili kwamba mumpindue yeye kama ukuta ulio inama au kama fensi isiyo imara?
4Wanashauliana naye ili tu kumshusha chini kutoka kwenye nafasi yake heshimiwa; wao wanapenda kuongea uongo; wanambariki yeye kwa midomo yao, lakini mioyoni mwao wana mlaani yeye. Selah
5Katika ukimya ninamsubiri Mungu pekee; kwa maana matumaini yangu yako kwake.
6Yeye pekee ni mwamba wangu na wokovu wangu; yeye ni mnara wangu mrefu; sitasogezwa.

Read Zaburi 62Zaburi 62
Compare Zaburi 62:1-6Zaburi 62:1-6