Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 55

Zaburi 55:6-8

Help us?
Click on verse(s) to share them!
6Nikasema, “Oh, kama tu ningekuwa na mabawa kama njiwa! Ningelipaa mbali na kupata pumziko.
7Tazama, ningeenda mbali; ningekaa jangwani. Selah
8Ningefanya haraka kuja mafichoni mwako kuzikimbia dhoruba na tufani.”

Read Zaburi 55Zaburi 55
Compare Zaburi 55:6-8Zaburi 55:6-8