Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 55:6-8 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 55:6-8 in Biblia ya Kiswahili

6 Nikasema, “Oh, kama tu ningekuwa na mabawa kama njiwa! Ningelipaa mbali na kupata pumziko.
7 Tazama, ningeenda mbali; ningekaa jangwani. Selah
8 Ningefanya haraka kuja mafichoni mwako kuzikimbia dhoruba na tufani.”
Zaburi 55 in Biblia ya Kiswahili