Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 54

Zaburi 54:4-6

Help us?
Click on verse(s) to share them!
4Tazama, Mungu ni msaidizi wangu; Bwana ndiye anisaidiaye.
5Naye atawalipizia uovu maadui zangu; katika uaminifu wako, uwaharibu!
6Nitakutolea dhabihu kwa moyo mkunjufu; nitalishukuru jina lako, Yahwe, kwa maana ni jema.

Read Zaburi 54Zaburi 54
Compare Zaburi 54:4-6Zaburi 54:4-6