Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 51

Zaburi 51:6-10

Help us?
Click on verse(s) to share them!
6katika moyo wangu wewe utanifanya niijue hekima.
7Unisafishe kwa hisopo, nami nitakuwa safi; unioshe, nami nitakuwa mweupe kuliko theluji.
8Unifanye kusikia furaha na shangwe ili kwamba mifupa ulioivunja ifurahi.
9Uufiche uso wako mbali na dhambi zangu na uyafute maovu yangu yote.
10Uniumbie moyo safi, Mungu, na uifanye upya roho ya haki ndani yangu.

Read Zaburi 51Zaburi 51
Compare Zaburi 51:6-10Zaburi 51:6-10