Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 51:6-10 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 51:6-10 in Biblia ya Kiswahili

6 katika moyo wangu wewe utanifanya niijue hekima.
7 Unisafishe kwa hisopo, nami nitakuwa safi; unioshe, nami nitakuwa mweupe kuliko theluji.
8 Unifanye kusikia furaha na shangwe ili kwamba mifupa ulioivunja ifurahi.
9 Uufiche uso wako mbali na dhambi zangu na uyafute maovu yangu yote.
10 Uniumbie moyo safi, Mungu, na uifanye upya roho ya haki ndani yangu.
Zaburi 51 in Biblia ya Kiswahili