Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 50

Zaburi 50:17-21

Help us?
Click on verse(s) to share them!
17wakati ninyi mnayachukia maelekezo na mnayatupa maneno yangu?
18Mumuanapo mwizi, ninyi hukubaliana naye; ninyi na mnashirikiana na wale wafanyao uasherati.
19Mwautoa mdomo wenu kwa mabaya, huelezea udanganyifu.
20Mnakaa na kuongea dhidi ya ndugu yenu; na kukashfu mwana wa mama yenu.
21Mmefanya mambo haya, lakini nimekaa kimya, hivyo mlidhani kuwa ni mtu flani nilliye kama ninyi mlivyo. Lakini nitawakaripia ninyi na kuwafunua, mbele ya macho yenu, mambo yote miliyofanya.

Read Zaburi 50Zaburi 50
Compare Zaburi 50:17-21Zaburi 50:17-21