3Yeye anawatiisha chini yetu na mataifa chini ya miguu yetu.
4Yeye huchagua urithi kwa ajili yetu, utukufu wa Yakobo ambaye alimpenda. Serah
5Mungu ameinuliwa juu kwa shangwe, Kwa mbiu ya shangwe Yahwe yu juu.
6Mwimbieni Mungu sifa, imbeni sifa; mwimbieni sifa Mfalme wetu, imbeni sifa.
7Kwa maana Mungu ni Mfalme duniani kote; mwimbieni mkiwa na uelewa.