3 Yeye anawatiisha chini yetu na mataifa chini ya miguu yetu.
4 Yeye huchagua urithi kwa ajili yetu, utukufu wa Yakobo ambaye alimpenda. Serah
5 Mungu ameinuliwa juu kwa shangwe, Kwa mbiu ya shangwe Yahwe yu juu.
6 Mwimbieni Mungu sifa, imbeni sifa; mwimbieni sifa Mfalme wetu, imbeni sifa.
7 Kwa maana Mungu ni Mfalme duniani kote; mwimbieni mkiwa na uelewa.