Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 38

Zaburi 38:13-17

Help us?
Click on verse(s) to share them!
13Lakini, niko kama mtu kiziwi na sisikii lolote; niko kama mtu bubu ambaye hasemi lolote.
14Niko kama mtu asiye sikia na mbaye hawezi kujibu.
15Hakika ninakungoja wewe, Yahwe; wewe utanijibu, Bwana Mungu wangu.
16Ninasema hivi ili kwamba maadui zangu wasije wakafurahia juu yangu. Ikiwa mguu wangu utateleza, watanifanyia mambo mabaya.
17Kwa kuwa niko karibu mashakani, na niko katika maumivu ya mara kwa mara.

Read Zaburi 38Zaburi 38
Compare Zaburi 38:13-17Zaburi 38:13-17