Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 33

Zaburi 33:2-4

Help us?
Click on verse(s) to share them!
2Mshukuruni Bwana kwa kinubi; mwimbieni sifa kwa kinubi chenye nyuzi kumi.
3Mwimbieni yeye wimbo mpaya; pigeni kwa ustadi na muimbe kwa furaha.
4Kwa kuwa maneno ya Mungu ni ya hakika, na kila afanyacho ni haki.

Read Zaburi 33Zaburi 33
Compare Zaburi 33:2-4Zaburi 33:2-4