Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 27

Zaburi 27:6-11

Help us?
Click on verse(s) to share them!
6Kisha kichwa changu kitainuliwa juu ya maadui wote wanizungukao, nami nitatoa sadaka ya furaha hemani mwake! Nitaimba na kutunga nyimbo kwa Yahwe!
7Sikia, sauti yangu nikuitapo, Yahwe! Unihurumie, na unijibu!
8Moyo wangu huongea kuhusu wewe, “Utafute uso wake!” Nami nautafuta uso wako, Yahwe!
9Usiufiche uso wako mbali na mimi; usinikasirikie mimi mtumishi wako! Wewe umekuwa msaada wangu; usiniache wala kunitelekeza, Mungu wa wokovu wangu!
10Hata kama baba yangu na mama yangu wakiniacha, Yahwe utanitunza kwako.
11Unifundishe njia yako, Yahwe! Kwa sababu ya adui zangu uniongoze katika njia salama.

Read Zaburi 27Zaburi 27
Compare Zaburi 27:6-11Zaburi 27:6-11