Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 25

Zaburi 25:10-11

Help us?
Click on verse(s) to share them!
10Njia zote za Yahwe ni za upendo wa kudumu na niaminifu kwa wote wanao tunza agano na maagizo ya amri zake.
11Kwa ajili ya jina lako, Yahwe, unisamehe dhambi zangu, kwa kuwa ni nyingi mno.

Read Zaburi 25Zaburi 25
Compare Zaburi 25:10-11Zaburi 25:10-11