Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 148

Zaburi 148:6-12

Help us?
Click on verse(s) to share them!
6Pia ameviimrisha milele na milele; naye alitoa amri ambayo haitabadilika.
7Msifuni yeye kutoka nchi, ninyi viumbe wa baharini na viumbe vyote katika kina cha bahari,
8moto na mvua ya mawe, theluji na mawingu, upepo wa dhoruba ukitimiza neno lake.
9Msifuni yeye, enyi milima na vilima, miti ya matunda na mierezi yote,
10wanyama pori na wanyama wafugwao, viumbe vitambaavyo na ndege.
11Msifuni Yahwe, wafalme wa nchi na mataifa yote, wakuu na watawala wote wa nchi,
12wote vijana wa kiume na vijana wa kike, wazee na watoto.

Read Zaburi 148Zaburi 148
Compare Zaburi 148:6-12Zaburi 148:6-12