Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 147

Zaburi 147:8-9

Help us?
Click on verse(s) to share them!
8Huzifunika mbingu kwa mawingu na huiandaa mvua kwa ajili ya nchi, akizifanya nyasi kukua juu ya milima.
9Huwapa wanyama chakula na wana kunguru waliapo.

Read Zaburi 147Zaburi 147
Compare Zaburi 147:8-9Zaburi 147:8-9