Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 146

Zaburi 146:8-9

Help us?
Click on verse(s) to share them!
8Yahwe huyafungua macho ya kipofu; Yahwe huwainua walioinama; Yahwe huwapenda watu wenye haki.
9Yahwe huwalinda wageni katika nchi; huwainua yatima na wajane, bali huipinga njia ya wasio haki.

Read Zaburi 146Zaburi 146
Compare Zaburi 146:8-9Zaburi 146:8-9