Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 145

Zaburi 145:12-14

Help us?
Click on verse(s) to share them!
12Watayafanya matendo makuu ya Mungu ya julikane na wanadamu na utukufu wa fahari ya ufalme wake.
13Ufalme wako ni wa milele, na mamlaka yako ya dumu kizazi hata kizazi.
14Yahwe huwategemeza wote waangukao na huwainua wote walioinama chini.

Read Zaburi 145Zaburi 145
Compare Zaburi 145:12-14Zaburi 145:12-14