Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 142

Zaburi 142:2-5

Help us?
Click on verse(s) to share them!
2Namwaga malalamiko yangu mbele zake; ninamwambia shida zangu.
3Roho yangu inapokuwa dhaifu ndani yangu, wewe unajua mapito yangu. Kwenye njia niipitayo wamenifichia mtego.
4Natazama kulia kwangu na sioni yeyote anayenijali. Sina pa kukimbilia; hakuna anayejali kuhusu uhai wangu.
5Nilikuita wewe, Yahwe; nikasema, “Wewe ni kimbilio langu, fungu langu katika nchi ya walio hai.

Read Zaburi 142Zaburi 142
Compare Zaburi 142:2-5Zaburi 142:2-5