Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 135

Zaburi 135:1-3

Help us?
Click on verse(s) to share them!
1Msifuni Yahwe. Lisifuni jina la Yahwe. Msifuni yeye, enyi watumishi wa Yahwe,
2ninyi msimamao katika nyumba ya Yahwe, katika nyua za nyumba ya Mungu wetu.
3Msifuni Yahwe, kwa kuwa ni mwema; liimbieni sifa jina lake, maana ni vizuri kufanya hivyo.

Read Zaburi 135Zaburi 135
Compare Zaburi 135:1-3Zaburi 135:1-3