Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 128

Zaburi 128:2-5

Help us?
Click on verse(s) to share them!
2Kazi ya mikono yako, wewe utaifurahia; utabarikiwa na kufanikiwa.
3Mke wako atakuwa kama mzabibu uzaao katika nyumba yako; wanao watakuwa kama miche ya mimea ya mizeituni wakaapo kuzunguka meza yako.
4Ndiyo, hakika, mtu anaye muheshimu Yahwe atabarikiwa.
5Mungu na akubariki toka Sayuni; na uweze kuona mafanikio ya Yerusalemu siku zote za maisha yako.

Read Zaburi 128Zaburi 128
Compare Zaburi 128:2-5Zaburi 128:2-5