Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 126

Zaburi 126:3-5

Help us?
Click on verse(s) to share them!
3Yahwe alitufanyia mambo makuu; ni furaha gani tuliyokuwa nayo!
4Ee Yahwe, uwarejeshe mateka wetu, kama vijito vya kusini.
5Wale wapandao kwa machozi watavuna kwa kelele za furaha.

Read Zaburi 126Zaburi 126
Compare Zaburi 126:3-5Zaburi 126:3-5