Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 95

Zaburi 95:6-10

Help us?
Click on verse(s) to share them!
6Oh njoni, tumwabudu na tupige magoti; tupige magoti mbele za Yahwe, muumbaji wetu:
7Kwa maana yeye ni Mungu wetu, na sisi tu watu wa malisho yake na kondoo wa mkono wake. Ni heri leo mngesikia sauti yake!
8Msiifanye migumu mioyo yenu, kama vile huko Meriba, au kama ile siku ya Masa jangwani,
9ambako baba zenu walinijaribu na kunipima, japo walikuwa wameyaona matendo yangu.
10Kwa miaka arobaini nilikasirishwa na kizazi hicho na kusema, 'Hawa ni watu ambao mioyo yao imepotoka; hawazijui njia zangu.'

Read Zaburi 95Zaburi 95
Compare Zaburi 95:6-10Zaburi 95:6-10