3kwa kinubi cha nyuzi kumi na kwa tuni ya kinubi.
4Kwa kuwa wewe, Yahwe, matendo yako yamenifurahisha. Nitaimba kwa furaha kwa sababu ya matendo ya mikono yako.
5Ni jinsi gani matendo yako ni makuu, Yahwe! mawazo yako ni ya kina.
6Mtu mpumbavu hawezi kuyajua, wala mjinga kuyaelewa haya: