Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 90

Zaburi 90:12-17

Help us?
Click on verse(s) to share them!
12Hivyo utufundishe sisi kuyafikiria maisha yetu ili kwamba tuweze kuishi kwa hekima.
13Ugeuke, Ee Yahwe! Mpaka lini itakuwa hivi? Uwahurumie watumishi wako.
14Ututosheleze sisi wakati wa asubuhi kwa uaminifu wa agano lako ili kwamba tuweze kufurahi na kushangilia siku zote za maisha yetu.
15Utufurahishe kwa uwiano sawa na zile siku ulizo tutesa na kwa ile miaka tuliyopitia taabu.
16Watumishi wako na waione kazi yako, na watoto wetu wauone ukuu enzi yako.
17Na neema ya Bwana Mungu wetu iwe yetu; fanikisha kazi za mikono yetu; hakika, fanikisha kazi ya mikono yetu.

Read Zaburi 90Zaburi 90
Compare Zaburi 90:12-17Zaburi 90:12-17