Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 90:12-17 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 90:12-17 in Biblia ya Kiswahili

12 Hivyo utufundishe sisi kuyafikiria maisha yetu ili kwamba tuweze kuishi kwa hekima.
13 Ugeuke, Ee Yahwe! Mpaka lini itakuwa hivi? Uwahurumie watumishi wako.
14 Ututosheleze sisi wakati wa asubuhi kwa uaminifu wa agano lako ili kwamba tuweze kufurahi na kushangilia siku zote za maisha yetu.
15 Utufurahishe kwa uwiano sawa na zile siku ulizo tutesa na kwa ile miaka tuliyopitia taabu.
16 Watumishi wako na waione kazi yako, na watoto wetu wauone ukuu enzi yako.
17 Na neema ya Bwana Mungu wetu iwe yetu; fanikisha kazi za mikono yetu; hakika, fanikisha kazi ya mikono yetu.
Zaburi 90 in Biblia ya Kiswahili