Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 88

Zaburi 88:14-15

Help us?
Click on verse(s) to share them!
14Yahwe, kwa nini unanikataa? Kwa nini unauficha uso wako mbali nami?
15Nimekuwa nikiteswa kila siku na hatihati ya kifo tangu ujana wangu. Nimeteseka dhidi ya hofu yako kuu; ninakata tamaa.

Read Zaburi 88Zaburi 88
Compare Zaburi 88:14-15Zaburi 88:14-15