Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 88

Zaburi 88:10-13

Help us?
Click on verse(s) to share them!
10Je! utafanya miujiza kwa ajili ya wafu? Wale waliokufa watafufuka na kukusifu wewe? Selah
11Uaminifu wa agano lako utatangazwa kaburini? au uaminifu wako mahali pa wafu?
12Matendo yako ya ajabu yatajulikana gizani? au haki yako katika mahali pa usahaulifu?
13Lakini ninakulilia wewe, Yahwe; wakati wa asubuhi maombi yangu huja kwako.

Read Zaburi 88Zaburi 88
Compare Zaburi 88:10-13Zaburi 88:10-13