Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 86

Zaburi 86:14-16

Help us?
Click on verse(s) to share them!
14Ee Mungu, wenye kiburi wameinuka dhidi yangu. Kundi la watu wenye vurugu wanautafuta uhai wangu. Nao hawakuheshimu wewe.
15Lakini wewe, Bwana, ni mwenye huruma na neema, hukasiliki haraka, na mwingi katika uaminifu wa agano lako na kweli.
16Unigeukie na unihurumie; mpe nguvu zako mtumishi wako; umuokoe mwana wa mjakazi wako.

Read Zaburi 86Zaburi 86
Compare Zaburi 86:14-16Zaburi 86:14-16