Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 83

Zaburi 83:13-17

Help us?
Click on verse(s) to share them!
13Ee Mungu wangu, uwafanye kama mavumbi ya kisulisuli, kama makapi mbele ya upepo,
14Kama moto uteketezao msitu, na kama miali ya moto iwakayo milimani.
15Uwafuatie kwa tufani yako, na kuwafadhaisha kwa dhoruba yako.
16Uwajaze nyuso zao kwa aibu ili kwamba waweze kulitafuta jina lako, Yahwe.
17Nao waaibishwe na kufadhaishwa milele; waangamizwe katika aibu.

Read Zaburi 83Zaburi 83
Compare Zaburi 83:13-17Zaburi 83:13-17