Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 81

Zaburi 81:2-8

Help us?
Click on verse(s) to share them!
2Imbeni wimbo na pigeni matari, kinubi chenye sauti nzuri pamoja na kinanda.
3Pigeni panda mwandamo wa mwezi, katika siku ya mbalamwezi, mwanzoni mwa sikukuu.
4Kwa kuwa ni agizo kwa Israeli, amri iliyotolewa na Mungu wa Yakobo.
5Aliitoa kama maelekezo kwa Yusufu alipoenda katika nchi ya Misri, ambako nilisikia sauti ambayo sikuweza kuitambua:
6“Niliutua mzigo kutoka mabegani mwake; mikono yake ilipumzishwa kubeba kikapu.
7Katika dhiki yako uliniita, nami nikakusaidia; nilikujibu kutoka katika wingu jeusi la radi. Nilikujaribu kwenye maji ya Meriba. Selah
8Sikilizeni, watu wangu, nami nitawaonya, Israeli, kama tu ugalinisikiliza!

Read Zaburi 81Zaburi 81
Compare Zaburi 81:2-8Zaburi 81:2-8