Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 80

Zaburi 80:14-16

Help us?
Click on verse(s) to share them!
14Urudi, Ee Mungu wa majeshi; kutoka mbinguni utazame chini na uuangalie na kuujali huu mzabibu.
15Huu ni mzizi ambao mkono wako wa kuume umeupanda, mashina ambayo wewe uliyafanya yakue.
16Yamekatwa na kuchomwa; yameangamia kwa sababu ya kukemea kwako.

Read Zaburi 80Zaburi 80
Compare Zaburi 80:14-16Zaburi 80:14-16